Jinsi yako na makopa ukiwa mchezoni (Wanimaliza) Kwenye raha huna pupa Kidhi raha zangu tukiwa chumbani Beiby boy nipe yote kwa mwingine sitamani
Kwao nafuata nini? Kwako nakosa nini? (Ukimbie) Umeshanipiga pini Moyoni mpaka mwilini (Wasimulie)
Kwao nafuata nini? Kwako nakosa nini? (Ukimbie) Umeshanipiga pini Moyoni mpaka mwilini (Wasimulie)
Nahisi si kupendwa kabla yako Ila nachopenda ndo unacho Yamepita mengi kwenye macho Ila nachopenda ndo unacho
Ushaniwaza kashasema sawa Sina dira nishapagawa Umenikoleza penzi lako dawa Nishakanyaga waya
Oooh beiby naenjoy vitu vyako Ooh beiby chako changu, changu chako
Unanipa mambo matamu Unaikata mishipa ya fahamu Unanipa mambo matamu Unaikata mishipa ya fahamu Njoo nikupe nitaongeza dawa
[Khaligraph Jones] First I gotta give it all to you Coz of how you keep it 100 You persistent ukisema that you want it Huh and am thinking it’s cool As long as ma and you keeping the truth
Vile hii lugha napanga ni ujue we msupa unabamba Vile you taking me high itabidi nimeshuka na kamba Ikifika ni swag huniita buda mapamba And coz I drive you beiby crazy funga mikanda OG!
Nahisi si kupendwa kabla yako Ila nachopenda ndo unacho Yamepita mengi kwenye macho Ila nachopenda ndo unacho
Ushaniwaza kashasema sawa Sina dira nishapagawa Umenikoleza penzi lako dawa Nishakanyaga waya
Oooh beiby naenjoy vitu vyako Ooh beiby chako changu, changu chako
[Khaligraph Jones] Mi ni bazenga what you want inaweza get down Don’t even mind them, attention they need to get non Naona umechizishwa na huyu boy wa Western The way I got the sause unaeza niita Peptang
Hey Lulu Diva nataka kukutuliza But nina swali nataka kukuuliza Uko sure you wanna roll with me? Coz am way too getter, O to the G warrup
Nishakanyaga waya Ooh beiby chako changu, changu chako Oooh yeah